Tuesday, February 17, 2015

Matokeo ya Ligi ya AZAM BD League - Round ya Pili (Week Six)

...

Tuesday, January 13, 2015

Matokeo ya Michezo yote iliyochezwa juma la kwanza

Ifuatayo ni jedwali linalo onyesha michezo yote iliyo chezwa katika juma la kwanza la mzunguko wa pili wa ligi ya mpira wa kikapu ijulikanayo kama AZAM BD RBAL LEAGUE 2014/...

Tuesday, December 23, 2014

YAH: MZUNGUKO WA PILI LIGI YA MKOA (AZAM BD LEAGUE) 2015

Chama cha Mpira wa kikapu Mkoa wa Dar Es Salaam kinapenda kuwajulisha wadau wake wote kuwa mzunguko wa pili wa ligi tajwa unatarajiwa kuanza tarehe 9 January 2015 na kumalizika 14 March 2015 baada ya mapumziko yaliyopisha mashindano ya vyuo (SHIMIVUTA) yaliyo malizika hivi karibuni mkoani Tanga na Sherehe za Xmas na Mwaka Mpya. Hivyo basi michezo ya ligi itachezwa siku za Ijumaa Jioni,Jumamosi na Jumapili chini ya udhamini wa Bakhresa Food...

Monday, December 1, 2014

Temeke Mabingwa - Taifa Cup 2014 Dodoma

Timu pekee ya Temeke kutokea Mkoa wa Dar Es Salaam imefanikiwa kutwaa taji la Taifa Cup 2014 kwenye michuano iliyofanyika Mkoani Dodoma baada ya kuifunga Timu ngumu ya Mkoa wa Mbeya kwa jumla ya vikapu 85 - 43. ...

AZAM BD LEAGUE - KUKAMILISHA MECHI ZA VIPORO

Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar Es Salaam kinapenda kutoa taarifa kwa vilabu vya JOGOO,DB Young Stars,Kurasini Heats,DB Lioness,Mgulani na Jeshi Stars kuwa michezo yao ya viporo itafanyika tarehe 5 na 6 Desemba 2014 hii inatokana na matumizi ya uwanja kuwa na shughuli za michezo ya Ngumi za Kimataifa. Tafadahali barua husika za taarifa hii zitawafikia vilabuni kwenu. ...

Thursday, November 6, 2014

Matokeo ya Ligi AZAM-BD kwa juma la sita

Ligi ya Mpira wa Kikapu inayo ratibiwa na Chama cha Mpira huo jijini Dar Es Salaam imeendelea tena wiki hii kwa michezo kati ya DB Lioness na JKT Stars ambapo timu ya JKT Stars iliibuka na ushindi wa vikapu 71-35 na Mchezo wa pili ulikuwa kati ya Oilers vs CHUI ambapo mchezo haukumalizika kutokana na kukatika kwa umeme huku timu ya CHUI ikiwa mbele kwa vikapu 35-17 dhidi ya Oilers ndani ya kipindi cha tatu cha mchezo,hata hivyo kamisaa aliuhairisha...

Friday, October 31, 2014

MABADILIKO YA SHERIA ZA MCHEZO WA MPIRA WA KIKAPU-2014

BAREDA inajulisha wadau wote kutambua si sheria zote za mchezo wa mpira wa kikapu zilizobadilishwa, watambue kuwa ni marekebisho Machache yasiozidi Matano yenye uhusiano wa moja kwa moja na yanayoweza kuleta athari kwa Teams zinapokuwa mchezoni. Marekebisho mengine ni ya kiutawala hasa kwa waamuzi na hayana athari kwa Teams zinapocheza mfano Signalling-namna ya kuripoti kwa kutumia ishara, na matumizi ya Video Replay system kwenye maamuzi bahati...