Thursday, November 6, 2014

Matokeo ya Ligi AZAM-BD kwa juma la sita

Ligi ya Mpira wa Kikapu inayo ratibiwa na Chama cha Mpira huo jijini Dar Es Salaam imeendelea tena wiki hii kwa michezo kati ya DB Lioness na JKT Stars ambapo timu ya JKT Stars iliibuka na ushindi wa vikapu 71-35 na Mchezo wa pili ulikuwa kati ya Oilers vs CHUI ambapo mchezo haukumalizika kutokana na kukatika kwa umeme huku timu ya CHUI ikiwa mbele kwa vikapu 35-17 dhidi ya Oilers ndani ya kipindi cha tatu cha mchezo,hata hivyo kamisaa aliuhairisha...