
BAREDA inajulisha wadau wote kutambua si sheria zote za mchezo wa mpira wa kikapu zilizobadilishwa, watambue kuwa ni marekebisho Machache yasiozidi Matano yenye uhusiano wa moja kwa moja na yanayoweza kuleta athari kwa Teams zinapokuwa mchezoni.
Marekebisho mengine ni ya kiutawala hasa kwa waamuzi na hayana athari kwa Teams zinapocheza mfano Signalling-namna ya kuripoti kwa kutumia ishara, na matumizi ya Video Replay system kwenye maamuzi bahati...