Friday, October 31, 2014

MABADILIKO YA SHERIA ZA MCHEZO WA MPIRA WA KIKAPU-2014

BAREDA inajulisha wadau wote kutambua si sheria zote za mchezo wa mpira wa kikapu zilizobadilishwa, watambue kuwa ni marekebisho Machache yasiozidi Matano yenye uhusiano wa moja kwa moja na yanayoweza kuleta athari kwa Teams zinapokuwa mchezoni. Marekebisho mengine ni ya kiutawala hasa kwa waamuzi na hayana athari kwa Teams zinapocheza mfano Signalling-namna ya kuripoti kwa kutumia ishara, na matumizi ya Video Replay system kwenye maamuzi bahati...

Thursday, October 30, 2014

MABADILIKO YA RATIBA SIKU YA IJUMAA TAREHE 31/10/2014

Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar Es Salaam kinapenda kutangaza mabadiliko madogo ya Ratiba siku ya Ijumaa tarehe 31/10/2014 ambayo yameangalia nafasi za kila timu kuweza kupata muda wa kuonekana live kama sehemu ya kuutangaza mchezo kwa kuonyesha michezo tofauti yenye viwango na msisimko tofauti ili kuongeza hamasa na msisimko kwa watazamaji watakao angalia moja kwa moja kupitia Television ya AZAM TV. Hivyo kutokana na mabadiliko haya...

TAMKO LA BAREDA/OFFICIAL STATEMENT

BAREDA inaandaa ripoti ya Mashindano (AZAM RBA LEAGUE 2014/15 REVIEW REPORT-FIRST ROUND) ambayo itatoa taarifa za kina na zisizo na upendeleo kwa upande wowote kwa mambo mbali mbali yaliyojitokeza, Changamoto, na Way forward, Hasa kwa Upande wa Officiating/Referee na kuikabidhi kwa Mkurugenzi Mtendaji BD. BAREDA inawapongeza Waamuzi kwa kazi nzuri pia kuwa makini , watulivu na inapobidi kuwa kimya kwani Maadili ya uamuzi (Official Ethics ) yanatuhitaji...

Tuesday, October 28, 2014

Semina ya siku moja juu ya sheria mpya za kikapu 2014

Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) kupitia kamisheni zake za Ufundi na Uendeshaji Mashindano na Waamuzi linapenda kukutaarifu kuwa  limeanda semina ya siku1 kama ilivyoelezwa hapo juu. Semina hii ni kwa ajili ya waamuzi wote wa DSM,Waalimu wa Timu,wachezaji na Viongozi wote wa Vilabu DSM itafanyika TAR:31/10/2014 SAA 6 MCHANA UWAJA WA TAIFA WA NDANI.Lengo kama chama kilicho na Dhamana ya kusimamia mchezo wa Mpira wa Kikapu nchini...

Wednesday, October 15, 2014

Taarifa za Mkutano na Wadau (Waamuzi,Viongozi wa Vilabu na Ma-Kaptain) - Alhamisi 16 Oktoba 2014

Basketball Dar Es Salaam (BD) inapenda kuwataarifu wadau ambao ni Waamuzi wote wa mchezo wa Mpira wa Kikapu,Viongozi wa Vilabu na Ma-Captains wote kuwa kutakuwa na mkutano siku ya alhamisi tarehe 16 Oktoba 2014 Don Bosco Upanga kujadili maendeleo ya ligi pamoja  na changamoto zake. Mkutano huu utaanza rasmi saa 1700hrs (Kumi na moja jioni) hivyo sote tunashauriwa kuhudhuria bila kukosa ili mawazo na mapendekezo yetu sote kwa pamoja yajadiliwe...

Monday, October 13, 2014

Miaka 15 ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Letu

Baba wa Taifa Mwl.Julius K. Nyerere inasemekana alipenda sana Mchezo wa mpira wa Kikapu (Basketball) yeye pamoja na Raisi wetu wa sasa Mh. Dkt. Jakaya M. Kikwete wakifurahia jambo kwenye uzinduzi wa ligi ya SUPER CUP. Hivyo basi mwaka huu (2014) kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 15 ya kumbumbu ya kifo chake. Tanzania Basketball Federation (TBF) iliandaa shindano la kuenzi mchango wake kwenye maendeleo ya Taifa letu.Mshindi wa shindano...

Mabadiliko ya Ratiba - AZAM BD LEAGUE

Taarifa kwa wadau (Vilabu,Mashabiki na Vyombo vya habari) Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu.ligi yetu ya Mpira wa Kikapu (AZAM BD League) imefanyiwa mabadiliko ya kiufundi kwenye ratiba yake kupitia michezo ifuatayo:- Tarehe 18 Oktoba 2014  - Jumamosi 34 - 1200hrs  - VIJANA QUEENS VS TZ PRISON - Umeahirishwa (TZ Prison watukuwa safarini) 35 - 1400hrs  - KURASINI HEAT VS DB OYSTER BAY - (Pazi vs JKT umesogezwa mbele) Tarehe...

Matokeo ya Ligi AZAM-BD kwa juma la tatu

Timu ya Chang'ombe wakipokea maelekezo Ligi ya Mpira wa Kikapu inayo ratibiwa na Chama cha Mpira huo jijini Dar Es Salaam imeendelea tena wiki hii kwa michezo kati ya Jeshi Stars na JKT Stars ambapo timu ya Jeshi Stars iliibuka na ushindi wa vikapu 66-63 na Mchezo wa pili ulikuwa kati ya Vijana Queens na DB Lioness ambapo DB Lioness waliibuka washindi kwa jumla ya vikapu 68 -33 vya Vijana Queens. Wachezaji wakipeana maelekezo Siku ya Jumamosi...

Monday, October 6, 2014

Matokeo ya Ligi AZAM-BD kwa juma la pili

 Ligi ya Mpira wa Kikapu inayo ratibiwa na Chama cha Mpira huo jijini Dar Es Salaam imeendelea tena wiki hii kwa michezo kati ya Vijana na Mgulani ambapo timu ya Mgulani JKT iliibuka na vikapu 57-46 na Mchezo wa pili ulikuwa kati ya Jogoo na DB Young Stars ambapo DB Young Stars waliibuka washindi kwa jumla ya vikapu 75-73 vya Jogoo. Siku ya Jumamosi ligi iliendelea kwa michezo minne ambayo ni Chang'ombe na Pazi ambapo PAZI ambao ni mabingwa...